| |
    
>>Isimu
Jamii
>>Semi za Jozi


|
Msamiati ni maneno ambayo huwa yanakanganya au
kuleta utata yanapotumika katika
mazungumzo ya kawaida.
Tunaanza kwa Kuangazia Msamiati wa watu na vitu
wanavyohusiana navyo
Kawaida
Msamiati
Mtu
Adinasi,
mja, insani, binadamu, insi, mahuluki, mudu
Mzazi:
mvyele,
Mtoto
mwana, (daka la mwana)
Baba
abu,
Mama
nina, nyoko
Mjomba
hau, khali
Shangazi
mkaza mjomba, mbiomba, halati
Binamu:
mkoi, bintiamu,
Msichana
Banati, gashi, binti , biti
Mvulana
mvuli
Kijana
Shababi, kijulanga,
Kijana(mvulana) Ghulamu,
Msichana mrembo
Kipusa, kisosho, mtotoshoo(mrembo zaidi-mrembo wa kani
Mwanamke mzeee
Ajuza, bikizee
Mwanamume mzee
Shaibu, buda,
Rafiki
Mwendani, sahibu, nemshi, mwandani, somo, msiri, mbasi
Mtu mbaya
mtu mui,
Mwanafunzi
mwanagenzi
Mvuvi
mwanapwa
Mwizi mdogo
pwagu
Mwizi mkuu
pwaguzi
Maskini
fukara, fakiri, mkata, hawinde, suta, mtule, mfilisi
Tajiri
mkwasi
Mwanamke
nisai
Mwanamume
ririali
Mwana wa kiume
dhukuria, auladi
Mja safi
mtanashati, mfua uji, mlibwende,
Familia
aila,
Ndoa
nikahi, nikakaha
Zama za kale
ndemi na mathathi, lela ulela, jadi na asili
Subira kwa hamu kuu
kwa hamu na ghamu, kwa raghba ya mkaja
Chakula
riziki au kuti
Kiamsha kinywa
staftahi, kisebeo
Chakula cha mchana
kishuka
Chakula cha jioni
kilalio, chajio au kijio
Birika
kandarinya
Damu
ngeu, ng’eu
|
|