Mawaidha    Haya ni Mawaidha yaliyotumwa na wasomaji wetu  
l
 


>>
Ukurasa wa 1
>>Ukurasa wa 2
 




 

 

Chumba cha Majadiliano>>>  Tuma Maswali/majibu/mawaidha>>>

Tafadhali anzisheni kitengo cha methali, misemo, vichekesho na vitendawili. Nitafurahia sana kusoma haya katika gskool.  -Victor
    Asante sana kwa mchango. Vitengo hivi tutavianzisha hivi karibuni.
Ninaudhishwa sana na vile lugha za sheng' na kimombo zinavyowaathiri wanafunzi. Ninawahimiza wanafunzi wote wazingatie kwa makini utumizi wa lugha sanifu ili kuimarisha ufasaha katika lugha ya Kiswahili la sivyo lugha ya Kiswahili, japo ni lugha yenye asili yake katika eneo letu la Afrika mashariki, itakuwa kama lugha yoyote ile ya Kigeni.    -Jaccy (Statoe)
Yangu si mawaidha mbali pongezi kwa kazi nzuri mnayoendelea kufanya. Endeleeni vivyo hivyo na bila shaka mtafikia upeo mwa juu Zaidi.......Bonnie
     Shukrani Bonnie, tutazidi kujikakamua
 Sijui kwanini kitabu cha walenisi kiliondolewa kutoka kwenye silabasi. Ningetaka kuihimiza wizara ya elimu kukirejesha kitabu hicho  kwani kilikuwa kikifunza maadili ya jamii kwa wanafunzi na kwa umma kwa jumla. Kilinipindua mimi na kingewanzindua wengi.   Steve (Nairobi)
 
Je, muundo wetu mpya unakupendeza? Mcheza kwao hutuzwa... Tupe maoni yetu kuhusu muundo wetu mpya. Shukurani.
Tuma mawaidha yako na maoni yako kwa kiswahili@gskool.com

 


Haki zote zimehifadhiwa. Kunakili Makala yoyote kutoka Kwenye Tovuti Hii Bila Idhini Iliyoandikwa na Wakurugenzi Hakuruhusiwi. Makala yote yanamilikiwa na Gskool.com punde tu yanapotumwa.
Tuma Mchango wako
au maswali kwa kiswahili@gskool.com.
Home 
Forums and Discussions  Legal  Contacts  Faqs

©Gskool Educational Site