|
Chumba cha Majadiliano>>>
Tuma Maswali/majibu>>>
Ukurasa wa mabingwa wa
kiswahili ni kitengo tunachoanzisha ili kuwapa heshima zao wale wote
walichangia na wanaochangia pakubwa katika kuikuza lugha ya kiswahili.
Kwa sasa kwa ufupi tu tutawataja wafuatao ambao wamechangia pakubwa katika
kuimarisha lugha hii yetu teule:
Mwalimu Walla Bin Walla
Ken Walibora
Marehemu Prof. Katama Mkangi
Marehemu Yusuf King'ala
Orodha yetu itakuwa ndefu
punde tu uchunguzi wetu utakapokamilika. Naam, kama pengine hatujakutaja
kama mbingwa wa Kiswahili na unadhani, au ukweli ni kwamba wewe
umechangia pakubwa, basi usiwe na wasiwasi mbali tuandikie barua
( kiswahili@gskool.com )na
bila shaka kwa idhini ya mkuu wa idara ya kiswahili wa gskool, basi
tutakuweka kwenye orodha yetu. |